Thursday 14 August 2014

PICHA ZA MAZISHI YA MKE WA MSANII AFANDESELE

 Msanii wa miondoko ya hip hop nchini Afande Sele hapo usiku wa jana alipata pigo kubwa la kufiwa na mzazi mwenzake (mke wake)  akizungumza na Mwarick blog Afande Sele alisibitisha kifo cha mke wake huyo na kusema "KWELI NIMEFIWA NA MKE WANGU USIKU HUU HATA SIELEWI TATIZO NINI" Alisema Afande huku akilia kwa uchungu.
 Kutokana na kanuni za Dini ya KIislam maherehemu amezikwa leo huko mkoani Morogoro.

"Timu nzima ya Mwarick blog inatoa pole kwa wafiwa wote walio kutwa na msiba huo"

TAZAMA PICHA ZA MSIBA HUO HAPA

ASANTE KWA KUWA NASI

No comments:

Post a Comment